Slider

BRAND VIDEOS

LAKEZONE MUSIC

WORLD MUSIC

TANZANIA SONG

HOT MIC TV SHOW

GOSPEL

MUSIC

» »Unlabelled » RAYC AFUNGUKA KUHUSIANA NA CHANGAMOTO PAMOJA NA MATUNDA YA RAYC FOUNDATION

Muimbaji wa kike nchini na mmiliki wa Ray Foundation maarufu kama Rayc amethibitisha kuwa taasisi hiyo imekuwa ikikabiliwa na baadhi ya changamoto ambazozimekuwa zikiwakwamisha kushindwa kukamilisha mipango waliyo nayo ili kuendeleza taasisi hiyo inayojihusisha na kuwasaidia vijana ambao ni waathirika wa madawa ya kulevya .
 

Akizungumza na Saut fm jana Ray amesemakuwa miongoni mwa changamoto zinazoikabili taasisi hiyo ni pamoja na ukosekanaji wa wafadhili kwaajili ya kuwafikia vijana wengi ambao wamekuwa ni waathirika wa madawa ya kulevya na wanaishi mikoani .

Ray ameongeza kuwa taasisi yake imefanikiwa kuwasaidia baadhi ya vijana ambao tayari walikuwa wameathirika na madawa ya kulevya , pia wamekuwa wakijihusisha na ujasiliamali "Baada mgonjwa kutibiwa na kupona tunampatia ajira kutokana na fani ambayo anakuwepo nayo, tuna miradi midogo midogo kwaajili ya kufanya vijana waweze kuwana shughuli za kufanya " Alisema Rayc

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply