Slider

BRAND VIDEOS

LAKEZONE MUSIC

WORLD MUSIC

TANZANIA SONG

HOT MIC TV SHOW

GOSPEL

MUSIC

» »Unlabelled » JOH MAKINI AFUNGUKA KUHUSU KAULI YA DIRECTOR NISHER




Msanii wa Hip Hop nchini Tanzania anayefahamika kwa jina la Joh Makini afunguka kuhusu kauli ya nisher inayolalamikia wasaniikufanya kazi zaidi nje ya nchi kuliko nyumbani Tanzania.
 
akizungumzia kwa undani suala hilo, kwenye exclusive interview ya Ngoma Time ndani ya Radio SAUT FM 96.1 MHz, Joh Makini amefafanua kuwa muziki hauna mipaka, kuvuka boda ni kutokana na kutafuta utofauti
 
"asa unajua suala la production ni talent hata wakati mwingine sio vyombo coz hata nyumbani camera zipo kibao; ila penginemtu anataka Director (Muongozaji) wa tofauti. Mfano mimi nikitaka kufanya kazi na Hyper williams, ukinishangaa nakushangaa Pia" aongezea Joh Makini.
  

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply