Slider

BRAND VIDEOS

LAKEZONE MUSIC

WORLD MUSIC

TANZANIA SONG

HOT MIC TV SHOW

GOSPEL

MUSIC

» »Unlabelled » RIHANNA : AFUNGUKA KUHUSU MWANAUME MWENYE MVUTO ZAIDI DUNIANI

RIHANNA : AFUNGUKA KUHUSU MWANAUME MWENYE MVUTO ZAIDI DUNIANI 
Msanii Rihanna aliyewahi kutajwa na mtandao wa FHM pamoja na jarida la Espquire mwaka 2011 kuwa mwanamke mwenye mvuto zaidi duniani
 

Hatimaye Rihanna amemtaja mwanaume mwenye mvuto zaidi duniani ambaye ni mwigizaji Vince Vaughn.

Rihanna aliyewahi kuwa na mahusiano na msanii Drake pamoja na Chriss Brown amemtaja mwigizaji  huyo kuwa  mwenye mvuto kuliko wanaume wote duniani hivi karibuni wakati akifanya mahojiano na Elle

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply