Slider

BRAND VIDEOS

LAKEZONE MUSIC

WORLD MUSIC

TANZANIA SONG

HOT MIC TV SHOW

GOSPEL

MUSIC

» »Unlabelled » NAY WAMITEGO: HAYA NDIO MATUNDA YA KUFANYA VIDEO NJE

Hatimaye msanii  wa  muziki  wa  kizazi  kipya  nchini  Nay  wamitego  afunguka  kuhusiana  na kichupa  cha  MR .NEY kilichoachiwa  hivikaribuni baada  ya  kufanya  na director  Kervin Bosco  kutoka  Kenya

 
Akizungumza na Radio Saut fm. Nay amesema kuwa Mr.nay ni video ambayo haijampa usumbufu kila  sehemu atakapoipeleka imekuwa ikipokelewa vizuri na mpaka hivi  sasa tayari imesha chezwa Channel O na MTV .


Nay ameongeza kuwa sababu ilimfanya akafanya kazi na director Kervin Bosco kutoka kenya ni connection.Kwani kama ni location hata nyumbani zipo tena nzuri lakini kinachokosekana kwa madirector wa hapa nyumbani ni connection

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Leave a Reply